Mwanga wa Kiswahili, Gredi ya 4

Authors
Ann Vaati, Sarah Kerubo, Mary Kikwanuu, Kenan Ngere, Hellen N. Kangai
Exercises kit’s authors
Ann Vaati, Sarah Kerubo, Mary Kikwanuu, Kenan Ngere, Hellen N. Kangai
Publisher
Longhorn Publishers

Longhorn Mwanga wa Kiswahili Gredi ya 4 (Kitabu cha Mwanafunzi) ni kitabu kilichoandikwa kwa ustadi na umahiri mkubwa. Kimeandikwa kwa lugha nyepesi ya kiwango cha mwanafunzi wa gredi ya nne. Kitabu hiki kinatosheleza kikamilifu mahitaji ya mtaala mpya wa umilisi pamoja na malengo ya elimu ya taifa la Kenya. Kimeshughulikia wanafunzi wote wakiwemo walio na mahitaji maalum pamoja na wanaoishi kwenye mazingira mbalimbali. 

Kitabu hiki kitamwangazia na kumwezesha mwanafunzi: 
• kuwa na uwezo wa kuwasiliana na wenzake, 
• kujiamini na kujithamini, 
• kuwaza kwa kina na kupata suluhu ya matatizo, 
• kuwa raia mwadilifu na mzalendo, 
• kutumia vifaa mbalimbali vya kidijitali. 

Upekee wa kitabu hiki ni kuwashirikisha wanafunzi kwa kiwango kikubwa katika ujifunzaji. Mlezi pia ameshirikishwa hasa katika mazoezi ya ziada. Mwishoni mwa kila mada kuu kuna zoezi la kuzichangamsha akili za wanafunzi ili kukumbuka waliyosoma. 

Kitabu hiki kina mwongozo wa mwalimu ambao utamwelekeza mwalimu katika kutekeleza wajibu wake. Bila shaka, mwanga wa kitabu hiki utaangaza na kukikuza Kiswahili angavu miongoni mwa wanafunzi. Waandishi wa kitabu hiki ni walimu na watahini wenye ujuzi wa kutosha katika ufundishaji wa Kiswahili kwa miaka mingi.

1. Nyumbani

Lead
Chapter
1.1. Kusikiliza na Kuzungumza: Matamshi bora
Free chapter!
1.2. Kusoma: Kusoma kwa ufahamu
1.3. Kuandika: Kuandika insha
1.4. Sarufi: Aina za maneno. Nomino
1.5. Sarufi: Aina za maneno. Vitenzi
1.6. Sarufi: Aina za maneno. Vivumishi

2. NIDHAMU MEZANI

Lead
Chapter
2.1. Kusikiliza na Kuzungumza: Maamkuzi na Maagano
2.2. Kusoma: Ufahamu
2.3. Kuandika: Kuandika insha
2.4. Sarufi: Aina za maneno. Viwakilishi
2.5. Sarufi: Aina za maneno. Vielezi

3. MAVAZI

Lead
Chapter
3.1. Kusikiliza na Kuzungumza: Matamshi bora
3.2. Kusoma: Kusoma kwa ufahamu
3.3. Kuandika: Kuandika kwa kutumia tarakilishi
3.4. Sarufi: Aina za maneno. Viunganishi
3.5. Sarufi: Aina za maneno. Vihusishi
3.6. Sarufi: Aina za maneno. Vihisishi

4. DIRA

Lead
Chapter
4.1. Kusikiliza na Kuzungumza: Heshima, Adabu na Vyeo
4.2. Kusoma: Kusoma kwa mapana
4.3. Kuandika: Kuandika barua
4.4. Sarufi: Ngeli za Nomino. Umoja na wingi wa nomino katika ngeli ya A-WA
4.5. Sarufi: Ngeli za nomino. Umoja na wingi wa sentensi katika ngeli ya A-WA

5. USHAURI NASAHA

Lead
Chapter
5.1. Kusikiliza na Kuzungumza: Methali
5.2. Kusoma: Kusoma kwa ufahamu
5.3. Kuandika: Kuandika insha
5.4. Sarufi: Umoja na wingi wa Nomino
5.5. Sarufi: Umoja na Wingi wa Sentensi

6. BENDERA YA TAIFA

Lead
Chapter
6.1. Kusikiliza na Kuzungumza: Kuzungumza na kujieleza kwa ufasaha
6.2. Kusoma: Kusoma kwa kina
6.3. Kuandika: Kuandika insha
6.4. Sarufi: Ngeli za nomino. Umoja na wingi wa nomino katika ngeli ya LI-YA
6.5. Sarufi: Ngeli za nomino. Umoja na wingi wa sentensi katika ngeli ya LI-YA
6.6. Sarufi: Ngeli za nomino. Umoja na wingi wa nomino katika ngeli ya KI-VI

7. MATUNDA NA MIMEA

Lead
Chapter
7.1. Kusikiliza na Kuzungumza: Nahau
7.2. Kusoma: Kusoma kwa mapana
7.3. Kuandika: Kuandika insha
7.4. Sarufi: Umoja na wingi wa sentensi/nomino

8. WANYAMA WA PORINI

Lead
Chapter
8.1. Kusikiliza na Kuzungumza: Visawe
8.2. Kusoma: Kusoma kwa ufahamu
8.3. Kuandika: Kuandika insha
8.4. Sarufi: Mnyambuliko wa vitenzi

9. AFYA BORA

Lead
Chapter
9.1. Kusikiliza na Kuzungumza: Mazungumzo
9.2. Kusoma: Kusoma kwa mapana
9.3. Kuandika: Kuandika insha
9.4. Sarufi: Vinyume vya nomino

10. KUKABILIANA NA UHALIFU

Lead
Chapter
10.1. Kusikiliza na Kuzungumza: Tashbihi
10.2. Kusoma: Kusoma kwa mapana
10.3. Kuandika: Kuandika insha
10.4. Sarufi: Nyakati na hali

11. MAPATO

Lead
Chapter
11.1. Kusikiliza na Kuzungumza: Kuzungumza na kujieleza kwa ufasaha
11.2. Kusoma: Kusoma kwa ufahamu
11.3. Kuandika: Kuandika barua
11.4. Sarufi: Ukanushaji
11.5. Sarufi: Ukubwa na udogo wa nomino. Ukubwa wa nomino
11.6. Sarufi: Ukubwa na udogo wa nomino. Udogo wa nomino