
Authors
Ann Vaati, Sarah Kerubo, Mary Kikwanuu, Kenan Ngere, Hellen N. KangaiExercises kit’s authors
Ann Vaati, Sarah Kerubo, Mary Kikwanuu, Kenan Ngere, Hellen N. KangaiPublisher
Included in packages

-
The study kit contains 44 chapters and teacher’s exercises kit contains 59 exercises.
-
Authors
Ann Vaati, Sarah Kerubo, Mary Kikwanuu, Kenan Ngere, Hellen N. Kangai -
Exercises kit’s authors
Ann Vaati, Sarah Kerubo, Mary Kikwanuu, Kenan Ngere, Hellen N. Kangai -
Subject
English -
Grade
4. -
Publisher
Longhorn Publishers -
Included in packages
—
Longhorn Mwanga wa Kiswahili Gredi ya 4 (Kitabu cha Mwanafunzi) ni kitabu kilichoandikwa kwa ustadi na umahiri mkubwa. Kimeandikwa kwa lugha nyepesi ya kiwango cha mwanafunzi wa gredi ya nne. Kitabu hiki kinatosheleza kikamilifu mahitaji ya mtaala mpya wa umilisi pamoja na malengo ya elimu ya taifa la Kenya. Kimeshughulikia wanafunzi wote wakiwemo walio na mahitaji maalum pamoja na wanaoishi kwenye mazingira mbalimbali.
Kitabu hiki kitamwangazia na kumwezesha mwanafunzi:
• kuwa na uwezo wa kuwasiliana na wenzake,
• kujiamini na kujithamini,
• kuwaza kwa kina na kupata suluhu ya matatizo,
• kuwa raia mwadilifu na mzalendo,
• kutumia vifaa mbalimbali vya kidijitali.
Upekee wa kitabu hiki ni kuwashirikisha wanafunzi kwa kiwango kikubwa katika ujifunzaji. Mlezi pia ameshirikishwa hasa katika mazoezi ya ziada. Mwishoni mwa kila mada kuu kuna zoezi la kuzichangamsha akili za wanafunzi ili kukumbuka waliyosoma.
Kitabu hiki kina mwongozo wa mwalimu ambao utamwelekeza mwalimu katika kutekeleza wajibu wake. Bila shaka, mwanga wa kitabu hiki utaangaza na kukikuza Kiswahili angavu miongoni mwa wanafunzi. Waandishi wa kitabu hiki ni walimu na watahini wenye ujuzi wa kutosha katika ufundishaji wa Kiswahili kwa miaka mingi.
1. Nyumbani
Lead |
Chapter |
---|---|
1.1. |
Kusikiliza na Kuzungumza: Matamshi bora
Free chapter! |
1.2. | Kusoma: Kusoma kwa ufahamu |
1.3. | Kuandika: Kuandika insha |
1.4. | Sarufi: Aina za maneno |
2. NIDHAMU MEZANI
Lead |
Chapter |
---|---|
2.1. | Kusikiliza na Kuzungumza: Maamkuzi na Maagano |
2.2. | Kusoma: Ufahamu |
2.3. | Kuandika: Kuandika insha |
2.4. | Sarufi: Aina za maneno |
3. MAVAZI
Lead |
Chapter |
---|---|
3.1. | Kusikiliza na Kuzungumza: Matamshi bora |
3.2. | Kusoma: Kusoma kwa ufahamu |
3.3. | Kuandika: Kuandika kwa kutumia tarakilishi |
3.4. | Sarufi: Aina za maneno |
4. DIRA
Lead |
Chapter |
---|---|
4.1. | Kusikiliza na Kuzungumza: Heshima, Adabu na Vyeo |
4.2. | Kusoma: Kusoma kwa mapana |
4.3. | Kuandika: Kuandika barua |
4.4. | Sarufi: Ngeli za Nomino |
5. USHAURI NASAHA
Lead |
Chapter |
---|---|
5.1. | Kusikiliza na Kuzungumza: Methali |
5.2. | Kusoma: Kusoma kwa ufahamu |
5.3. | Kuandika: Kuandika insha |
5.4. | Sarufi: Umoja na wingi wa Nomino/Sentensi |
6. BENDERA YA TAIFA
Lead |
Chapter |
---|---|
6.1. | Kusikiliza na Kuzungumza: Kuzungumza na kujieleza kwa ufasaha |
6.2. | Kusoma: Kusoma kwa kina |
6.3. | Kuandika: Kuandika insha |
6.4. | Sarufi: Ngeli za nomino |
7. MATUNDA NA MIMEA
Lead |
Chapter |
---|---|
7.1. | Kusikiliza na Kuzungumza: Nahau |
7.2. | Kusoma: Kusoma kwa mapana |
7.3. | Kuandika: Kuandika insha |
7.4. | Sarufi: Umoja na wingi wa sentensi/nomino |
8. WANYAMA WA PORINI
Lead |
Chapter |
---|---|
8.1. | Kusikiliza na Kuzungumza: Visawe |
8.2. | Kusoma: Kusoma kwa ufahamu |
8.3. | Kuandika: Kuandika insha |
8.4. | Sarufi: Mnyambuliko wa vitenzi |
9. AFYA BORA
Lead |
Chapter |
---|---|
9.1. | Kusikiliza na Kuzungumza: Mazungumzo |
9.2. | Kusoma: Kusoma kwa mapana |
9.3. | Kuandika: Kuandika insha |
9.4. | Sarufi: Vinyume vya nomino |
10. KUKABILIANA NA UHALIFU
Lead |
Chapter |
---|---|
10.1. | Kusikiliza na Kuzungumza: Tashbihi |
10.2. | Kusoma: Kusoma kwa mapana |
10.3. | Kuandika: Kuandika insha |
10.4. | Sarufi: Nyakati na hali |
11. MAPATO
Lead |
Chapter |
---|---|
11.1. | Kusikiliza na Kuzungumza: Kuzungumza na kujieleza kwa ufasaha |
11.2. | Kusoma: Kusoma kwa ufahamu |
11.3. | Kuandika: Kuandika barua |
11.4. | Sarufi: Ukanushaji |